lirik lagu ananitazama – mic gower
[intro: g van]
ananitazama
ananitazama
ananitazama yeyee!
ananitazama yeyeeee.. heeey
[mic gower]
yeaah, its yo boy mic gower here
najua watu wanapitia mambo magumu sana
its the same here
[verse 1 : mic gower]
maisha ni mzungunguko, navyoishi mi mtumishi
hata nikifa leo, najua sauti itaishi
mambo mengi weka kando, dhambi ikiwa namba one
nilikua nimejawa kiburi, sasa mwanaharakati
nilivyokua mdogo sikujua mema wala baya
kila kitu kw-ngu nilichofanya niliona sawa
wazazi walinisihi nisijiunge na wabaya
nikapuuza, weka kando yangu yaende sawa
wazaz walibana, nisifanye nachotaka
kuruka ukuta,yote ujinga,na walinzi niliwalipa
nako church, neno zuri nilisikia
okoka, okoka, ndizo stry nilizopewa
nika apa, sitorudi tena kuzisikia
wavuta bangi, na kamali, nikawaona kama wana
kanisa kwa kubanwa, nikaona kama chupa
na ushauri washikaj zangu, ni ibada kama kawa
[chorus: g van]
maisha bila wewe nisingekua hivi
nashukuru jehova umenitoa mbali
i thank you, unanitazama
i thank you, jehova
i thank you, unanitazama
i thank you, jehova…yaah yaah
[verse 2: mic gower]
maisha yalikua hayana mbele wala nyuma
wazazi w-ngu walijitahidi kuniombea na kufunga
ndugu zangu, walinisusa nikaonekana kama sifai
hapo ndo nikatambua, there are is many rooms kwa dady
kuna vita kati yangu, kati ya mungu na shetani
na ilikua juu yangu, kati ya maombi na utani
nadhani, najua huwez, mi, kuni understand
na hii ni stroy ya kweli, na si utani
nimekua mtu mzima , mawazo yametanuka
baba yangu still anaomba, anadhani amenikosa
nikasema nimetubu, shetani amenikosa
na yesu kw-ngu ndo mwamba, kwa mwovu amenitoa
amebadilishwa nimekua, mtu mwingine
na si, aliepotea kwa muovu, pengine
nimeokoka naendelea kushika mistari mingine
na yesu anaokoa mitaa, kila kona ya mitaa
[chorus: g van]
maisha bila wewe nisingekua hivi
nashukuru jehova umenitoa mbali
i thank you, unanitazama
i thank you, jehova
i thank you, unanitazama
i thank you, jehova…yaah yaah
maisha bila wewe nisingekua hivi
nashukuru jehova umenitoa mbali
i thank you, unanitazama
i thank you, jehova
i thank you, unanitazama
i thank you, jehova…yaah yaah
[outro g van]
ooowh, ooowwh, ooowh
heeey, heeey heeey, halleluyah!
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu johnny cash › lirik lagu a certain kinda hurtin’ – johnny cash
- kumpulan lirik lagu rob balmaceda › lirik lagu heart story – rob balmaceda
- kumpulan lirik lagu scepaz › lirik lagu naked – scepaz
- kumpulan lirik lagu kinnykk › lirik lagu кинул долбаеба (kinul dolbaeba) – $kinnykk
- kumpulan lirik lagu joey wolfe › lirik lagu one for em – joey wolfe
- kumpulan lirik lagu madonna › lirik lagu intervention – madonna
- kumpulan lirik lagu notch › lirik lagu fiesta – notch
- kumpulan lirik lagu morlockz › lirik lagu causa – morlockz
- kumpulan lirik lagu netta נטע › lirik lagu nanna banana (dego & pangea remix) – netta – נטע
- kumpulan lirik lagu donny osmond marie osmond › lirik lagu paper roses – donny osmond & marie osmond