lirik lagu salima – linex feat. diamond
je jey ahh
the v.o.a
tuddy toma
waasafi
eeh
salima, salima ooh najua maisha yako yaliyumba pale ulipo wapoteza wazazi
wako
yule salima wa jana sio salima wa leo amekua wa kujinania na kujikata
tamaa
iko wapi furaha yake aliyo kuwa nayo mwanzo iko wapi furaha yake aliyo
kuwa nayo mwanzo
salima nakusanze kasuru kagonga wekuye tenga tinyanya
salima chenisange nguya yene nasoma nawe mwengee
salima mi ni sange yule yule nilie soma nawe mwenge zimeyayuka ndoto zako
ulizo kuwa nazo salima
(ooh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tuje penda (ooh salima) niwe baba wa watoto
wako
(ooh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tuje penda (ooh salima) niwe baba wa watoto
wako
naomba hiyo bahati ya kuishi nawe idondokee kw-ngu isiende kwa mwingine
yasije kuwa kama yale ya mla nawe hafi nawe yasije kuwa kama yale ya
mla nawe hafi nawe
usijikatie tamaa kuna wengi wana shida kuliko zako salima
wanaamini kupitia yule msemo wa ridhiki hapo mbinguni kwake
wanaamini kupitia ule msemo wa ridhiki mafungu saba salima ooh
(oh salima)mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tujependa(ooh salima) niwe baba wa watoto
wako
(ooh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tuje penda (ooh salima) niwe baba wa watoto
wako
moyo unatamani yani kuwa kitambo ufungue (ufungue)
usione jinsi gani unavyonifanya niugue eeh
zenda huri nana uwawish uwawi nashisee
pamoja kuherera baba utungamizi j-po niulimishe
utamu, utamu wa moyo w-ngu mi kupendwa nawe
utamu salima tatizo mami basi sema nielewe
ah salima ooh (oh ayee) salima eeh (oh ayee) salima ooh (oh aee) salima
eeh (oooh)
(oh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tujependa ooh salima niwe baba wa watoto
wako
(ooh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima)mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tuje penda (ooh salima)niwe baba wa watoto
wako
i feel that i’m in love with you, i feel that my life is you i feel that you’re
the only one i need, i’m gonna trust
baby i’m not perfect but i’m going my all the way and i just want to be
with you
me and you forever and ever
(oh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima)tuwe na wana tuje penda (ooh salima) niwe baba wa watoto
wako
(ooh salima) mie mwenzako nakupenda (ooh salima) mie nataka niwe wako
(ooh salima) tuwe na wana tuje penda (ooh salima) niwe baba wa watoto
wako
watoto kedekede, na watoto kedekede shemeji mchange wandese tanisaidia
salima, salima, salima
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu oliver francis › lirik lagu ps2 (john mayer) – oliver francis
- kumpulan lirik lagu highway superstar › lirik lagu hunters – highway superstar
- kumpulan lirik lagu empire cast › lirik lagu hourglass – empire cast
- kumpulan lirik lagu a2 › lirik lagu pluto interlude – a2
- kumpulan lirik lagu ryan adams › lirik lagu wildest dreams – ryan adams
- kumpulan lirik lagu droza › lirik lagu trip – droza
- kumpulan lirik lagu nubee mac › lirik lagu waiting room – nubee mac
- kumpulan lirik lagu esz erron › lirik lagu going under – esz ( erron )
- kumpulan lirik lagu jewel › lirik lagu everything breaks – jewel
- kumpulan lirik lagu for the win › lirik lagu us versus them – for the win