lirik lagu subiri kwanza – nacha feat. stamina
g que on another wan
asaa n vp ni hit bila babu
akat flan ana kiki
ngoma biggee ni ajabu
muzki una tabu
ya muusaa ya maajabu
marapa mnaochana rula
mkatumike kwny hesabu
muzki umejaa mzgo unarapu kama nanii
maana huyoo nanii mwny redion hatumckii
chek braza jmoe
mzee wa mvua na jua
cyo bishoo ila anadab na anatusua
oky
nimek-mbk kuna story za unafki
znavumajoh makini anaandikiwa na nicki
mm siafk kiba kujiita king
akat king ninayemjua mm ni kingkiki
wanaosema hiphop hailip hzo story za uongo
kuna marapa hawalp so dgo fungua ubongo
acha masihara usikae kusubr kiki
hakuna mziki wa biashara fanya biashara ya mzk
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza umejipanga au unataka uje tu na irizi yako ya mganga
tatizo lenu nyie madogo mnajisahau
ukitoa ngoma moja unahis umepanda dau
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujipange
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujichange
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujipange
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujichange
na vip kuhusu nay na madee
nasikia wote marais kuna nchi ya namna hii
na mungu anatenda miujiza nuksi
wasanii wa bongo bhana
weupeeeeee wazazi weus
hata uchane ka 2pac bila heshima kaz bure
ka kichwan hauko smart dogo bora urud shule
kuhusu swala la unga
nadhan mifano unaijua
chondechonde kula wa ugali huo mwingine utakuuwa
sitoroga nivume nipate hela
c mnajua nacha muslam cio christian bella
ntalegeza om nisilale giza
maana nikikaza ala za roho
ntabakidiva
kuhusu story za kuroga
kiukwel cna uhakika
ulimwona nan au gazet liliandika uckariri nyimbo kuhit iwe inachezeka je vikongwe na vilema kund gan utawaweka????
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza umejipanga au unataka uje tu na irizi yako ya mganga
tatizo lenu nyie madogo mnajisahau
ukitoa ngoma moja unahis umepanda dau
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujipange
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujichange
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujipange
nataka kuingia kwenye game
subir kwanza ujichange
nataka kuingia ili niwanase wakina huda
maana nasikia ukihit wao wenyewe tu wanakuja
cjui mara flan me mdananda
ukitaka uzoefu wa kufugwa muulize nuhu mziwanda
iv brother kwanza dem wako nan
cna dem nina mke nimemwacha nyumban
bila kiki za wasichana mpaka leo nipo bomba
so waambie watoto wa mama
stamina ni saut ya mjomba
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu fntxy › lirik lagu walmart white tee – fntxy
- kumpulan lirik lagu lil tony official › lirik lagu why – lil tony official
- kumpulan lirik lagu avi roy › lirik lagu nine to five – avi roy
- kumpulan lirik lagu moritz ley › lirik lagu solo – moritz ley
- kumpulan lirik lagu tray b › lirik lagu get out the way – tray b
- kumpulan lirik lagu nicole mccloud › lirik lagu always and forever – nicole mccloud
- kumpulan lirik lagu the stygian complex › lirik lagu dumb s.o.b. – the stygian complex
- kumpulan lirik lagu jul › lirik lagu postiché – jul
- kumpulan lirik lagu kor kash 코르캐쉬 › lirik lagu 2009 – kor kash (코르캐쉬)
- kumpulan lirik lagu planet b › lirik lagu dick on the dance floor – planet b