lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu i am a professional 2 – lengai-i narchug

Loading...

verse 1: lengai-i narchug
chukua concept ya content/
a siyo alama ya mwisho ya ku-score/
hivyo zidi ongeza juhudi, ili pengine u-score(e) more/……i am a professional

how comes you bother to abattoir?/
while you gat nothing to au revoir!/
huoni siyo kila kilicho kipya, haupaswi kujifunza/…i am a professional

ndoto zako hazitatimia, mpaka mwenyewe uzitimize/
they say am abrasive and corrosive as…i am a proffesional

tunahaki ya ku-abode, na sipendi lives wanazo-abort/
am the only uncoded code, that uncoders can’t uncode/..i am a professional

nashukuru absence ya abscess/
sina u-salama kama wa jabir. bali u-master kama wa u-jay because…i am a professional

nimeacha zeros na ones/
na naelekea penye hatari, na ukicheki sina hata security coz…i am a professional

mwanafunzi ataelewa, lakini siyo zaidi ya mwalimu wake/
see you can never inspire yourself kid…..i am a professional

mbona una-h.i.v, na hutaki kupewa aids/
au ndiyo madhara ya wino, yaliyojikita kwenye kalamu…i am a professional

i can’t be paid for nothing, our god created everything/
tena out of nothing, and….i am a professional

umekula ujana utotoni, ukala uzee ujanani/
yako wapi mafao ya uzeeni, man…..i am a professional

chorus:
lenga-i narchug is ma professional

verse 2:

msini-include kwenye quorum/
tayari wameshani-appoint, na kuni-include jamii forum coz…i am a professional

am now qualified to be here/
i can’t be simplified to be there/
i now know they don’t care, but…i am a professional

sintaitumia turn-over, ili ini-turn niwe hangover/
better to do some ravage, rather than beeing a survage…i am a professional

my love for y’all is unlimited, like the size of the universe/
mfano mmoja utanitosha, na ntaonekana….i am a professional

usiwe mjuzi asiye na ujuzi/
for now nasakwa na n-bel, ili ini-surprize na prize coz…i am a professional

nakuletea thunder isiyo na storm/
ili matatizo usiyakimbie, bali utafute njia ya kuyatatua maana…i am a professional

now itakuwa saa zile baadae, i like to talk about the universe/
i mean tena in a nutsh-ll as…i am a professional

natokea arusha, home of the greatest minds/
mwanamalundi comes first then….i am a professional

chorus:
lenga-i narchug is ma proffesional

verse 3:
hamna haja ya oviduct, fusion will take place/
and lead to new products….i am a professional

many writers were great readers/
many readers great leaders/
and many poets great rappers, and…i am a professional

bado wanasaka profit, na hawana time for stories/
thus why i just flow throughout the year, like a perennial river..i am a professional

hauhitaji ikiwa macro, unaiitaji ikiwa micro/
so be another son of jack, just after michael…i am a professional

this how i create life from bars, and get rid of scars/
see i can direct you to mars, man….i am a professional

hii ni olympic ya hip hop/
nishanyakua medali ya rap/
now collect your memorabilia as…i am a professional

mie ni lile kundi bovu, litakalokomesha tabia mbovu/
r.i.p geez mabovu, …i am a professional

usitudanganye we ni messiah/
uliyetabiriwa na isaiah(isaya)/
huoni huna traits za ki-haya/..i am a professional

nakusanya ka tributaries/
nakugawa ka distributaries/
natoa maana bila dictionaries as …i am a professional

a kid is a kid, but not the swahili kid/
sasa nini mnashangaa, nowadays a kid can kill…..

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...