lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu ups and downs – miracle noma

Loading...

(intro) yiih mood inakata, unadata uko happy unajihisi uko down..

unapigana mpaka soo..

(verse 1)
ubinadamu kazi alisema kibla sir nature/
wanataka wakuweke chini kisa wana pesa/
wanapenda life yako isiwe freshi iwe mbovu/
mf-koni hauna cash, kichwani unastress mobb/
ndo wanapenda uishi hivyo mzee/
uone dunia mbaya mpaka uwish kifo mzee/
asa kwanini unaiombea mi matatizo mzee/
unaacha k-muomba mungu uende paradiso mzee!!/
sijui kwanini!! siku hizi tumekua hatupendanagi/
waliokufa sio maboya kisa wamekwenda na maji/
naamini mama ndo mshikaji wa kweli ambae atanishikilia hadi kesho/
sio mshkaji ambae ukizinguananae anakushkia hadi beto/
asa kwanini hautulii na maisha yako unahangaika/
unafatilia maisha ya watu kama we hauna maisha/
namaanisha hausomeki sikuelewi niaje/
mi sina nguvu pambana tu na maisha niache/

(godzilla) hook..
unapigana mpaka soo, mood inakata, unadata uko happy unajihisi uko down…
watu wanakuchooraa, k-mbe life ni ups and down…

(verse 2)

badala ungoje lini yesu atarudi unangoja nife/
mi sikupendi babu hata ukiniletea mambo ya kike/
acha kusnitch man-gg-r, hujui hata jins sh ngapi/
mtoto wa kishua hadi boxer unanunuliwa na b mdashi/
nyota nikishine watabaki macho juu/
izo tano za kinafki hata usinipe baki nazo tu/
sioni unachofanya, unanichora picha nafuta/
muda ambao unapoteza kunidiss mi natafuta/
ongea na watu pesa haichimbi kabuli/
in-z-ka tabu na kufanya uone mjini pazuri/
dunia kubwa jiachie acha kunibania/
unamaindi nikilewa na hujawahi hata kunipa mia/
amini kuwa mungu ni mmoja/
amini yule jamaa aliekuacha na shida akatambaa sio mtu ni nyoka/
asante mungu kunionesha mbali napofumba macho/
njia ya k-mzuia mw-nga ni kusali sio kufunga mlango/

(godzilla)
unapigana mpaka soo, mood inakata unadata uko happy unajihisi uko down..
watu wanakuchoraa, k-mbe life ni ups and down

(outro)
miracle noma and god to da zizi, zillaaa..
mailimbili dom city, salasala n-gg-a we in a house..
bin laden wasaaaap…

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...