lirik lagu wivu – jux
eiyeh,
niamini leo hii, sitamani mwingine tena,
kazi zangu mishemishe,
nitarudi nyumbani mapema,
unachonipa baby, sitokaa nikuumize,
na zile raha unazonipa, wewe,
napenda unavyokata, na kunipa taratibu,
mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu,
nikikushika unanitazama unaona aibu,
we tabibu, unanipa raha,
napenda unavyokata, na kunipa taratibu,
mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu,
nikikushika unanitazama unaona aibu,
we tabibu, ila -ilaa
husije fanya visa mina wivu,
na moyo utaniumiza mina wivu,
na hofu watakuteka mina wivu,
sitaki nile mbichi wao mbivu x2
naandika ngoma ya mapenzi nakuona wewe,
na vinanda vya bob vya bembeleza,
nish-goma kwingine, kwako nipewe,
umeniteka mazima nimelegeza,
and everything i do for you,
is from my heart as you know,
na kila siku mimi napambana we ubagamee,
ah ah ah aah, x4
husije fanya visa mina wivu,
na moyo utaniumiza mina wivu,
na hofu watakuteka mina wivu,
sitaki nile mbichi wao mbivu x2
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu yungmuney › lirik lagu survive – yungmuney
- kumpulan lirik lagu ronpe99 › lirik lagu federal – ronpe99′
- kumpulan lirik lagu johnny cash › lirik lagu old time feeling – johnny cash
- kumpulan lirik lagu the cats › lirik lagu but tomorrow – the cats
- kumpulan lirik lagu train › lirik lagu careless whisper – train
- kumpulan lirik lagu john mark mcmillan › lirik lagu reckoning day – john mark mcmillan
- kumpulan lirik lagu fishy › lirik lagu балконы (balconies) – fishy
- kumpulan lirik lagu the four lads › lirik lagu skokiaan – the four lads
- kumpulan lirik lagu hc › lirik lagu admit one – hc
- kumpulan lirik lagu raimonds pauls › lirik lagu kā svece deg – raimonds pauls