chekecha cheketua - ali kiba lyrics
[verse 1]
jamaniii mi nataka saule
kama mapenzi gorofa yamejaa kariakoo
mi nna mapenzi tele kama kwetu kule
wanao nitaka ni wengi ila mimi kwako nyang’a nyang’a nyang’a
[pre chorus]
nini unataka mi nina miujiza nini unataka
ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
nikugeuze princess sema nini unataka
unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
nini unataka mi nina miujiza nini unataka
nikugeuze princess sema nini unataka
siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
siamini ooh siamini yamenipanda kichwani
mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
[chorus]
aya chekecha
chekecha aya chekecha cheketua
cheke chekecha cheketua
cheke chekesha cheketua
cheke chekesha cheketua cheke
[verse 2]
masia uluso kitaa abu daddy
penzi alinipa mama nami leo nakupatia
tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna
mi ntakupenda sana mpaka wivu utakimbia
nami ntalia na wewe mimi kwako nyang’a nyang’a nyang’a
[pre chorus]
nini unataka mi nina miujiza nini unataka
ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
nikugeuze princess sema nini unataka
unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
nini unataka mi nina miujiza nini unataka
nikugeuze princess sema nini unataka
siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
siamini ooh siamini yamenipanda kichwani
mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
[chorus]
aya chekecha
chekecha aya chekesha cheketua
cheke chekecha cheketua
cheke chekesha cheketua
cheke chekesha cheketua cheke
yeah uuh cheke chekecha aah heyiiii
Random Song Lyrics :
- dick + durstig - böhse onkelz lyrics
- balladen om deg - skambankt lyrics
- whisky - mc sativa lyrics
- the greatest christmas gift - colin buchanan lyrics
- ganz normal - chreezy lyrics
- you know who to call - space rngr lyrics
- pestilent throne - envenomed lyrics
- acog - iayze lyrics
- танго летнего сада (summer garden tango) - cosmos (vocal group) lyrics
- bedtime blues - shmoupy lyrics