lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

kadogo - ali kiba lyrics

Loading...

[intro]
yoooh 001 aaah aaah ah
iyo iyo iyo yeah

[chorus]
kadogo kanapenda keroro
keroro, keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogo
kanapenda keroro

[verse 1]
nikamuuliza anatoka 254
mombasa kwa wanjanja janja
ananikosha roho

[pre chorus]
she must be there
she would be there
wouh wo kadogo dogo
mnawakataa machali
mnawataka mamanzi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
mnawataka maboys
mnawakata wadosi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
mnawakata machali
mnawataka mamanzi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
mnawataka maboys
mnawakata wadosi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
[chorus]
kadogo kanapenda keroro
keroro, keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogo
kanapenda keroro

[verse 2]
akaja bongo aaah
akaja akaja bongo keroro
akitwika anayumba yumba keroro
naskia am in love sio kidogo
anaweza love ananikosha
kwa vile vile anavyodance aaah, ananikosha

[pre chorus]
she must be there
she would be there
wouwo kadogo dogo
mnawakataa machali
mnawataka mamanzi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
mnawataka maboys
mnawakata wadosi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
mnawakata machali
mnawataka mamanzi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
mnawataka maboys
mnawakata wadosi
mnanikulia vako sio (eeh baba)
[chorus]
kadogo kanapenda keroro
keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogo
kanapenda keroro

[outro]
kadogo kadogo dogo
kananimaliza, kananikosha roho roho
kadogo kadogo dogo
kananimaliza
nikosha roho roho yangu weeh

Random Song Lyrics :

Popular

Loading...