mali yangu - ali kiba lyrics
[chorus]
kama ni makosa kupendelea moyo w*ngu huchagua
hayo yote nisiumize moyo wako
pia ujumlishe na yale yale yale
mapenzi matamu ya kama halua ya allah bali yangu yaliwa
[verse 1]
mapenzi matamu ya wawili mashallah
walio pendana kwenye hii dunia kama adam na hawa
kwa hii hali mi sijali nivumilie ntazoea
kukonyeze titi na kujiamini kunisaliti si hatari
kiota changu cha moyo ni zawadi
zinukie hisia zangu kwako kama ua ridi
nishaumizwa sana kukinyesha mvua baridi
kwa jinsi ulivyo utesa staki urudi
tell molina ali naumia, ali naumia, mapenzi
tell molina ali nateseka [?]
[chorus]
kama ni makosa kupendelea moyo w*ngu huchagua
hayo yote nisiumize moyo wako
pia ujumlishe na yale yale yale
mapenzi matamu ya kama halua ya allah bali yangu yaliwa
[verse 2]
pendera, hupendi karaha
nami sinyora, nikose raha
unantia hasara, kula kulala
na garagara, unaniumiza roho
you my friend na uliniumiza roho
kila weekend uko busy na hayo
unayoyapenda ya kuuza sura
nilisha nunua eti unapenda
kutenda kwa yale yote unayo jiskia
baby kwanini mateso, mateso, mateso, mateso ya roho
wengi wanasema usiniumize roho
[chorus]
kama ni makosa kupendelea moyo w*ngu huchagua
hayo yote nisiumize moyo wako
pia ujumlishe na yale yale yale
mapenzi matamu ya kama halua ya allah bali yangu yaliwa
[verse 3]
[?]
[chorus]
kama ni makosa kupendelea moyo w*ngu huchagua
hayo yote nisiumize moyo wako
pia ujumlishe na yale yale yale
mapenzi matamu ya kama halua ya allah bali yangu yaliwa
Random Song Lyrics :
- crianças não morrem - floribella (brasil) lyrics
- l'ère du temps - lord esperanza lyrics
- essência do início - cartel mcs lyrics
- live from 3rd 5150 (intro) - kydo chill lyrics
- haters pt.2 - yamine lyrics
- sol - kafé lyrics
- kuroneko [黒猫] (black cat) - nσσt (neet) lyrics
- flows - donnis ontario lyrics
- riding on whiskey - chris kleiber lyrics
- the man who's gone - eldebrock lyrics