nagharamia - ali kiba lyrics
[intro]
maa*aah (yeah!)
ma eh, ma*ah iyee
[verse 1 : christian bella]
ukimwona, kapendeza
si utafikiri katokea mbinguni
ni mtoto mkali, kaumbika mama (mama eeh)
nahisi kama nishawahi k*muona
kafanana na nani? kwani ni nani?
demu fulani, kama namjua
kafanana na nani? kwani ni nani iyee
demu fulani, kama namjua
[hook : christian bella]
kiba we we we we (yeyeye iyee)
ali we yeyeyeye (iyee, kama namjua)
kiba we we we wee unamjua huyu demu
de*de*de*demu, de*de*de*demu deeh
[bridge : alikiba]
iye*ye*ye*ye (iye)
iye*ye*ye*ye (iye)
iye*ye*ye*ye (iye) iyee iye
iye*ye*ye*yeee
iyee yooh iye ooh*oooh
[verse 2 : alikiba]
namuona tu, kasura kazuri
ni binti fulani ye
marashi mazuli na gari kali eh
ni kweli, amependezaa
kama ni hurulaini
mimi ni demu w*ngu huyo (ninagharamia)
kweli ampendezaa
hurulaini iyee
demu w*ngu wewe (ninagharamia)
[hook : alikiba]
bella we*we*we*we ooh (iyee)
kwani vipi we*wee
(ninagharamia)
bella we*we*we*we unamjua huyu dem
(de*de*de*dem)
(de*de*de*dem)
[verse 3 : christian bella & alikiba ]
oh no no nashindwa kuvumilia
huyu mtoto kanipagawisha
kila nikikutana naye
moyo w*ngu una dunda dunda
nataka tu kujuana naye
awe kama rafiki w*ngu
labda moyo w*ngu itatulia tuliiia
bella siachi raha kwa ubishi
na mvumilivu hula mbivu ooh
nishamaliza ngombe nzima
kabaki mkia huyo
oh ma’ azali, ma’ azalii
ma’ azali mwa si kitoko
myifo balula ye
oya zali na bote naye
azali mwa si kitoko (kuteka na ngai ye)
meifo balula yeye (mwasi na ngai ye)
oye zali na mutema yeye (na lingio lingio)
ngana sengi tobina mama
[chorus 2 : christian bella & alikiba ]
katee, katee (kate)
katika kata (kata)
kate katee (yako kata loketo mama )
yaka katika, yaka katika (yaka tobina mabina mboka)
katee katee (kate)
katika kata (kate)
kate katee (yako kata loketo)
yaka katika, yaka katika (yaka tobina mabina mboka)
katee katee (kate)
katika kata (kata)
kate katee (yako kata loketo mama)
yaka katika, yaka katika (yaka tobina mabina mboka)
katee katee (kate)
katika kata (kate)
kate katee (yako kata loketo)
yaka katika, yaka katika
(yaka tobina mabina mboka)
[outro]
aah*aah
mabina mboka
yako kata loketo
mama ah*ahh
iye iye iye iye (iye)
iye*yoo*ooh
iye*oh*ooh
Random Song Lyrics :
- boh pah - bxnja lyrics
- hold it! demo - angelhomicide lyrics
- aboveground session - longus mongus, monk lyrics
- i wish you were a girl (demo) - 12 rods lyrics
- madonna nera - dada’ (ita) lyrics
- товарные отношения (commodity relations) - makhrin lyrics
- на крови (bonus) (on the blood) - emoslut666 lyrics
- mirage (bass boosted) - scellé123 lyrics
- prangman remix - newham generals lyrics
- they dont understand - lelya noise feat. mc dayn feat. vladisslove lyrics