
nitadata - alicios lyrics
ooh baba
usinipe wazimu nikashindwa kulala
na tena
uchachu kama ndimu kila siku hasira
mapenzi kama safari
baridi utelezi bado tupo pamoja
mwenzio nimezama
usisikie mapendo unafanya vioja
mwenzako mtumwa
na kwa yako mapenzi natumikia
nione huruma
usije kuniacha ukanikimbia
usinikimbie (vibaya)
usinikimbie hayaa (vibaya)
usinikimbie (vibaya)
usinikimbie hayaa (vibaya)
oooooh
yako mengi sana yakusikia
sina maana utaambiwa
kicheche kinoma
sikupi mapenzi eti mimi nakuibia
unajua mapenzi ni kuridhia
nakupenda asili mia mia
usinipe homa
nitapata simanzi machozi kulia lia
mwenzako mtumwa
yako mapenzi natumikia
nione huruma
usije kuniacha ukanikimbia
usinikimbie (vibaya)
usinikimbie hayaa (vibaya)
usinikimbie (vibaya)
usinikimbie hayaa (vibaya)
oooooh
mwenzako mtumwa
mtumwa weee
nione huruma
huruma weee
mwenzako mtumwa
mtumwa weee
nione huruma
huruma
nitadataaa (vibaya)
nitadataaa (vibaya)
nitadataaa eehey (vibaya)
nitadata usinikimbie (vibaya)
mmmh, mmmh, mmmh
mmmh, mmmh, hey, mmh
usinikimbie
mwenzako mtumwa
Random Song Lyrics :
- la calma (take it easy) - cloaka company lyrics
- the only one who knows - lake ruth lyrics
- check out melodee - mc melodee lyrics
- triste satan - kamaitachi lyrics
- the crush - parokya ni edgar lyrics
- söndag 26 oktober 1997 - doktor kosmos lyrics
- one-way - m.i abaga lyrics
- friendship anthem - superpig lyrics
- one of the days - leann rimes lyrics
- eye talk - fashiøn lyrics