
sina bahati - anjella lyrics
mmmmh… mmh oh yeah yeah yeah yeah
mbio za sakafuni huishia ukingoni sikujua
we nenda salama mi najiuguza
wameshakurubuni fadhila zangu huzioni natambua
siwezi kung’ang’ana ushanipunguza
hee ninajihisi bahati sina
sahau yote ya jana
bora ungesema mapema kama kuna kosa nilokutendea
uliniahidi utanilindia heshima, hutaifanya danga
k*mbe hata yale maneno mazuri uliyosema uliongopea
ooh baba! k*mbe siri ya mtungi aijuaye kata
ooh baba! moyo umeumbwa kupenda mwingine nitapata
ooh baba! yakiisha mavumbi mafua yatakata
ooh baba! na ukweli haufungwi kwenye penzi la balaa
sina bahati, sina bahati
sina bahati, sina bahati
nilishajaribu kufosi hadi kupiga ndele (sina bahati)
ila bado nimikosi acha niende mbele
eh sishindani na upepo kwa mbio
limenikosa sikio
mie kichwa nijigeuze kalio
bure nitajiumia
mizani haipimi kulia
shetani amеlibamia
siku hizi anajiita f*gio
anawamaliza eeh
mwili wema w*ngu umeniponza
ni mifupa nono kulifyonza
umeniacha njia panda mi naoza
bila huruma
masikini moyo umеnichonza
jahazi lazama ye nahodha
mateso kila likich0m*za
i wish siku zirudi nyuma
ooh baba! k*mbe siri ya mtungi aijuaye kata
ooh baba! moyo umeumbwa kupenda mwingine nitapata
ooh baba! yakiisha mavumbi mafua yatakata
ooh baba! na ukweli haufungwi kwenye penzi la balaa
sina bahati, sina bahati
sina bahati, sina bahati
nilishajaribu kufosi hadi kupiga ndele (sina bahati)
ila bado nimikosi acha niende mbele
Random Song Lyrics :
- sommerkveld - ballinciaga (nor) lyrics
- anzuelo - khappa lyrics
- student and robot - dylee dee lyrics
- fawk ya - feddi lyrics
- the last thing i heard before jumping into oncoming traffic - ✰lil myspace✰ lyrics
- o amor (el amor) - alice caymmi lyrics
- tonight - christian j. simpson lyrics
- how did it end? (live from stockholm) - taylor swift lyrics
- 200+200 - vipplayer lyrics
- perfect illusion (demo) - tame impala lyrics