
unisikie bwana - anyasi ekhuya lyrics
ewe bwana niongoze
katika safari yangu
usiniache kwa yule mwovu
nifundishe kutembea katika njia yako
(nipitapo nyikani
usiniache kamwe
nisife moyo
kwenye bonde la kivuli cha kifo
uwe mlinzi w*ngu)
ewe bwana uniongoze
niende kwa mwendo wa imani
nikijua wewe ndiwe yote kw*ngu
na maisha yangu ni yako
(ninakutegemea wewe)
ninakutumaini wewe
(ninakusifu wewe)
ee bwana (wewe ndiwe mungu w*ngu)
(nipitapo nyikani
usiniache kamwe
nisife moyo
kwenye bonde la kivuli cha kifo
uwe mlinzi w*ngu)
ewe bwana niongoze
nipate kufika kwa wokovu wako
nijue wewe ndiwe njia
na maisha yangu ni yako
ninakutegemea wewe
(ninakutumaini wewe)
ninakusifu wewe
(wewe bwana wewe ndiwe mungu w*ngu)
ewe bwana niongoze
(nipate kufika kwa wokovu wako
nijue wewe ndiwe njia
na maisha yangu ni yako)
Random Song Lyrics :
- konkretno (dj emmporio remix) - ana nikolić lyrics
- super-herói - héloa lyrics
- cartel - kera beatz lyrics
- the kids - elena coats lyrics
- wish i could - wangi gitaswara lyrics
- cut! - alexx, lil kiddo & razorback lyrics
- never going back - junior skyy lyrics
- när jag vill - r-gant lyrics
- back 2 school - a. clark lyrics
- no reason - k-odd-ik lyrics