
diana - bahati lyrics
niko vitani na moyo baby
zaidi ya yote k*mbuka jana
unasonga, mi nasonga
moyo unakataa. ah!
kinachonitia wasi wasi
ni cha kuwaambia kanisani
na sijafeli
nina imani moyoni
ulivyobeba virago vyako
kanisahau mie
na ukambeba mwanangu
amwite nani dady
diana (diana)
diana (diana, diana)
w*ngu diana (diana, diana)
nisikize diana (diana, diana)
ina maana huoni uchungu napitiaa
naikimbia shida nilikotoka unajuaa
naogopa, naogopa
hunnie naogopa
ninavyo umia bidii kwa kazi
mbona unaondoka
nakupenda sana
nishawaambia mashabiki na baba
akulinde sana
baado nakusubire
ulivyobeba virago vyako
kanisahau mie
na ukambeba mwanangu
amwite nani dady
diana (diana)
diana (diana)
w*ngu diana (diana)
nisikize diana (diana, diana)
ina maana huoni uchungu napitiaa
naikimbia shida nilikotoka unajuaa
diana (diana)
diana (diana)
diana, diana…
diana, diana…
shallzbaro
ulivyobeba virago vyako
kanisahau mie
naukambeba mwanangu
amwite nani dady
Random Song Lyrics :
- young fresh fellow update theme - young fresh fellows lyrics
- jag lär mig aldrig - mwuana lyrics
- 3g - ratpi lyrics
- el payaso - izzle payo lyrics
- weapon killah (demo) - thoughtz of da chamber lyrics
- про лодку (the boat) - 3eed lyrics
- i remember - chris travis lyrics
- american dream - dominic balli lyrics
- down in the tube station at midnight - full version - the jam lyrics
- get it - aspen martin lyrics