mapenzi - bahati lyrics
wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana, mapezi yana tesa zaidi ya money×2
yalimtesanga kakangu zamani, nyumbani kawa kisirani.washirika wakatoka kanisani,, yalimtesa kakangu zamani wameyaiba kwa burudani, mwenyewe ayaonyesha msalabani
oooh oh ooh ohh mapezi mbona utatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nilifunzwa na babu alivyo mtunza nyanyaa.nikasoma kwa baba naye anavyompenda mamaa×2
na adamu akampenda hawa sababu akala lile tunda.hapo ndipo dhambi kazaliwa,, unak-mbukaa weee na adamu akampenda hawa haraku ndo maana tunalia.kwa mapenzi inafanya tunacheka,, unanipataa.
oooh oh ooh oh mapenzi kwanini unatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nkaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata w-ngu., mtoto wa mama.mbona unatesa mapenzi.mbona unatesa kwai nini,, mbona unatesa mapenzi
kazini, nyumbani, kanisa inasema
ooh ooh ooh oh mapenzi kwa nini unatea tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
Random Song Lyrics :
- 1 di 6 - raein lyrics
- sharingan - thetheoryofchange lyrics
- objetos personales - havalina lyrics
- moments passed (mike dean remix) - dermot kennedy lyrics
- freestyle de marseille à moscou [part 5] #planèterap - jul lyrics
- hung the moon (uh huh song) - drew holcomb & the neighbors lyrics
- horror story of love - reissverschluzz lyrics
- self image(draft) - hairexis lyrics
- основа (basis) - dfysaga lyrics
- hare krishna - tina malia lyrics