
warira - ben pol lyrics
Loading...
tatizo kina lake
haliln’ kanki mdomoni
taswira ya sura yake
hain’toki kichwani
mapenzi na raha zake
n*z* miss jamani
matash*titi mahaba yake
aninyila raha ndotoni
kama shida pombe
niko tayari kuacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
kama shida pombe
sigara naacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
funika kombe mwana haramu apite
kosa gani kubwa lisisameheke
niambie basi j*po nijirekebishe
hii hali inatesa nitakuja nife
kama shida pombe
niko tayari kuacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
kama shida pombe
sigara naacha
aje tuyamalize
si sawa mi kuniacha
Random Song Lyrics :
- pronto mi ricevete - dj myke & gabriel lyrics
- lost - rozix lyrics
- for the record - jaden lyrics
- гинеколог - broken lyrics
- cinco letras preciosas (jesus) - rose nascimento lyrics
- alone - aleah lyrics
- time with me - jurnee brinson lyrics
- eternal flame - annett louisan lyrics
- mir ist egal - mrs. nina chartier lyrics
- coming out - wunna la frappe lyrics