
maboss - billnass lyrics
[intro]
hatuagizwi na maboss
sisi wenyewe maboss
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
(kibab?ba, nenga)
badmon
mmm, mmm
(chu*, chupa imeamka na chai, ausio?)
s2kizzy, baby
[verse 1: billnas]
wanasema roho mbaya, roho mbaya kweli ninayo
nafanya makusudi kushinda hizo chuki zao
tena wanafki bado nakula nao, na hainipi shida riziki hawatoi wao
ex w*ngu anatamani niachike, nifubae, niishe, nidhalilike
adui zangu wanatamani wanizike
niwe choka mbaya, na mwisho nifilisike
[chorus]
hatuagizwi na maboss
sisi wenyewe maboss
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
tena wanafosi, kutuona tuna lost
wanatuombea mikosi (yeah, yeah, ih)
tunalindwa na sir god pekee
[hook: billnas]
hao, hao, hao, hao
wananisema mimi, hawaoni yao
hao, hao, hao, hao
wakiomba mabaya yanarudi kwao
hao, hao, hao, hao
wananisema mimi, hawaoni yao
hao, hao, hao, hao
wakiomba mabaya yanarudi kwao
[chorus]
hatuagizwi na maboss
sisi wenyewe maboss
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
tena wanafosi, kutuona tuna lost
wanatuombea mikosi (yeah, yeah, ih)
tunalindwa na sir god pekee
[drop]
[verse 2: billnas & jux]
eh
na hao marafiki wanafiki tunaishi nao
wana chuki utadhani labda, ‘tunaishi kwao
wanashindwa kurithi nyumba na mali za baba zao
cha kushangaza wanarithi tabia za dada zao
ex w*ngu anatamani niachike, nifubae, niishe, nidhalilikе
adui zangu wanatamani nizikwe
niwe choka mbaya, na mwisho nifilisike
[chorus]
hatuagizwi na maboss
sisi wеnyewe maboss
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
tena wanafosi, kutuona tuna lost
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
[hook: billnas]
hao, hao, hao, hao
wananisema mimi, hawaoni yao
hao, hao, hao, hao
wakiomba mabaya yanarudi kwao
hao, hao, hao, hao
wananisema mimi, hawaoni yao
hao, hao, hao, hao
wakiomba mabaya yanarudi kwao
[chorus]
hatuagizwi na maboss
sisi wenyewe maboss
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
tena wanafosi, kutuona tuna lost
wanatuombea mikosi
tunalindwa na sir god pekee
[drop]
Random Song Lyrics :
- you & i (acoustic) - secondhand serenade lyrics
- nite lite - bmc musick lyrics
- august 20th - jean grae lyrics
- could you - tv on the radio lyrics
- dragon - mac tyer lyrics
- bad timing - ro james lyrics
- crossing over - stxxxr lyrics
- på festplatsen - owe thörnqvist lyrics
- blimpies (no more sandwich) - money boy lyrics
- et o.b liv - stenz lyrics