
moyo wangu - blessed paul lyrics
kuna maneno ya uzima, nimesikia
kando ya kisima, cha yakobo
kama ungalinijua mama, ungeniomba
yangu ya uzima, shida zako ni ndogo
mmmh
ayanywaye maji haya, suluhisho ya muda
ila ayanywaye ninayo toa, hataona kiu tena*2
moyo w*ngu tulia
tulia kwa bwana
usifadhaike maana
bwana yuko nawe
ona kijito cha tiririka, toka enzini
hapo kando umenipanda, daima mbichi kijani
wakati wa kuzaa na uso wa kuzaa mimi nitazaa matunda mema
nitaingia mtaa na ujube ya kuwa, nimempata hasiyebadilika
njoni nyote mnywe maji, kwa maji haya
mavazi yakifuliwa, yanatakata*2
moyo w*ngu tulia
tulia kwa bwana
usifadhaike maana
bwana yuko nawe
wakati wa kuzaa na uso wa kuzaa mimi nitazaa matunda mema
nitaingia mtaa na ujube ya kuwa, nimempata hasiyebadilika*2
Random Song Lyrics :
- cheers to this - mia ardinez lyrics
- killing time - megadeth lyrics
- ashes (in a place like this) - cacola lyrics
- groove - jetski bueller lyrics
- flowers - my name is dc lyrics
- spittin’ rubbish - daryl ward lyrics
- tru 2 u / mia - tuesdxy lyrics
- чаттер (chatter) (prod. g33k) - яндекс (yandex) lyrics
- infernal obsession - soul remnants lyrics
- big plans - femegades lyrics