
mwamba - blessed paul lyrics
mbegu zilizotupwa zimemea
waliziona, uchafu kwa sinia aah
walidhanani hazifai kwa chakula
wakazitupa aah, kwa takataka!
jiwe walilolikataa aah
limetuwaa
mwamba imara
niko ndani yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w*ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
walinitupa kwa moto wakadhani mimi kwisha
hawakujua ninaye mungu moto ulao
na walinitupaaa kwenye maji mengi
nikatembea juu yake kama vile petro
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w*ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w*ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
Random Song Lyrics :
- honeydew (ft. america loves me) - jayseph lyrics
- a world without you - barbara mcnair lyrics
- light it up (4b remix) - major lazer lyrics
- περιπέτεια (peripetia) - sarbel lyrics
- devil boy - aislinn davis lyrics
- suspiros al viento - yoselin tamara lyrics
- zig zag - tastycool lyrics
- o,τι aφησες πίσω - babylona (gr) lyrics
- первое утро (first morning) - imnlove lyrics
- goats - us: thefolks lyrics