
rafiki mwema - blessed paul lyrics
nimebaki peke yangu
naumia ooh no
nilodhani rafiki zangu
wameniacha solo
majirani udhaifu w*ngu
waufanyia promo
niufiche wapi uso w*ngu
ila kwako baba
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k*mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k*mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
rafiki ni wewe, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
rafiki ni wewe, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
nitainua macho yangu
nitazame milimani
msaada w*ngu watoka wapi
ila kwako baba
nitatandaza mipango yangu
na niombe kwa imani
wokovu w*ngu watoka wapi
hakika nikwako baba
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k*mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k*mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
rafiki ni wewe, rafiki ni wewе, yesu, rafiki mwema
rafiki ni wewе, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
oooh oooh oooh oooh oooh rafiki mwema
rafiki ni wewe, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
Random Song Lyrics :
- not like us (space_panda pop remix) - space panda lyrics
- i can't win (on a rainy day) - margarita helene lyrics
- miserable - mystique days lyrics
- gold mine - stephen day lyrics
- ride on - bourbon boys lyrics
- ion overthink - icytwat lyrics
- sa-worst - the feed (sbs) lyrics
- this song made me puke, pt. 2 - dj smokey lyrics
- the way that i feel today - studio live-version - twenty sixty six and then lyrics
- every day - luke leighfield lyrics