
wema wako - blessed paul lyrics
chorus
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
verse 1: blessed paul
bwana yesu w-ngu nakupenda toka jadi
wema wako bwana umenifanya niwe hai
bwana yesu w-ngu nakupenda toka jadi
wema wako bwana umenifanya niwe hai
umenipa sauti naimba
umenipa uhuru nanena
neno lako chakula cha roho
wema wako ni tele tele tele ai
chorus
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
verse 2: paul b
ulikufa msalabani nafsi yangu kapona
hata leo ninakiri kwamba wewe ni bwana
(ulipigwa pigwa, ukateswa teswa wema wako ajabu-2)
umenipa sauti naimba
umenipa uhuru nanena
neno lako chakula cha roho
wema wako ni tele tele tele ai
chorus
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
verse 3: don santo
unaponya, yesu w-ngu we wapendeza aha
waongoza njia zangu zote nakupenda aha
minapenda kuimba, minapenda kusifu
minapenda kucheza, nakupendaa..
aram tapa tapa minapenda vitu mingi hata kutaja nashindwa
bila ule wema wako ningekuwa kitu bure yesu nakupenda ah ah
chorus
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
baba, wema wako ni tosha
Random Song Lyrics :
- araz axar - rəhim rəhimli lyrics
- wzrok na buciki - małach & rufuz lyrics
- when it rains - nora harris lyrics
- mvp - asha (tur) lyrics
- alley girl ways - johnny horton lyrics
- westwood crib session - rm (uk) lyrics
- lealtad - zetazen lyrics
- 당신은.wav - kid zafiro lyrics
- sorry - pom lyrics
- yourself - mildlife lyrics