raha - boshen lyrics
raha unazonipa, sijawahi kuona
pakiuma ukipashika, mwezio napona
wazidishie misifa, wasiopenda kuona
zinduna na sharifa, wazidi kununa
nionyeshe rumba, unanipa ambavyo sipewi
moyo unanidunda, buu baa, sielewi
ni generator, show zake umeme ukikata
yani uzezeta, natoka udenda, mi paka
matarumbeta, mwenzenu harusi naitaka
k*meremeta, nauliza nani asiyetaka?
nani huyo? nani huyo?
nani huyo?
nani huyo?
nani huyo? asojua
nani huyo? utamu wa mapenzi
nani huyo? atoke mbele
nani huyo? anyooshe kidole juu
yani utamu wako un*z*di kongoro
asa ya nini nipashe kiporo
wanagonga ngongongo na mlango siufungui
penzi letu sio pambo kitu ambacho hawakijui
yani kw*ngu una thamani zaidi ya jiwe la diamond
utachosema mi sibishi na sijuagi kusema no
mi generator, show zake umeme ukikata
yani uzezeta, natoka udеnda, mi paka
matarumbeta, mwenzenu harusi naitaka
k*mеremeta, nauliza nani asiyetaka?
nani huyo? nani huyo?
nani huyo?
nani huyo?
nani huyo? asojua
nani huyo? utamu wa mapenzi
nani huyo? atoke mbele
nani huyo? anyooshe kidole juu
Random Song Lyrics :
- dmv flow - fiozodigiboy lyrics
- fumeteo (remix) - feid, mora & eladio carrión lyrics
- stripper - rykey lyrics
- breathtaking - willv lyrics
- t for texas - ramblin' jack elliott lyrics
- over (intro) - max b lyrics
- blowtorch - timezones lyrics
- boutta dollar - collin roach lyrics
- wave - sang min lim lyrics
- sam the spaceman - the voyage project lyrics