
mapenzini - bossbele lyrics
verse1:
mikutano ya siri, kwenye kiza kinene
hukutaka subiri, nikamate mapenny
ungeweza kukiri, mi ningejikita kwingine
umeficha… ona muziki munene
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
verse2:
hivi ulikosa nini, kutaka kwangu upewe
kama maisha uliwini, ilibaki uolewe
mabuzi wote nchini, masharobaro mjini
bado ukang’ang’ana nami, lakini kwanini…
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi..
oh oh…
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
Random Song Lyrics :
- destination: nowhere - ravenscry lyrics
- black leather (feat. charlotte qamaniq) - keiino lyrics
- julianna - dynasty lyrics
- broken - kiranova lyrics
- on some rap diss shit - kane narvaez lyrics
- first nation - andrew the spirit lyrics
- like we supposed to - derek minor, byron juane, & canon lyrics
- tsunami [c&s] - white punk lyrics
- мокрые улицы (wet streets) - padillion lyrics
- battalion - trebuchet lyrics