
shobo - casto mnyama lyrics
ukijifanya we snitch mi ni snitch pia
ukijifanya unanidisi mi nakuangalia
ukileta za kiwtchi umefeli dear
nalindwaga na mungu baba devil no fear
marafiki masnitch staki
wakujaziana nzi staki
ukijichanganya nakusheat staki
nakupangusa kama kamasi staki
stakagi shobo staki
kambali nakutema staki
stakagi shobo staki
kwenye vita mi sio mwema
kitambo niliaza hastiler we ulizingua
ukajua nguvu ya soda k*mbe ya bia
day after day n*z*jua njia
ile uliyo bana nimekuachia
sitishiki na haso naongeza dua
kwenye mlima mkali ninakimbia
pigo zako zakin*z* nilishazijua
harakati kama hizi uwezi zuia
jicho la mungu baba linaniangazia
kila ninachofanya nina barikiwa
mungu akipanga uwezi kuzuia
ukihifadhi chuki haito saidia
vile unakaza kunialibia
n*z*di kiwapakata kama siti ya abiria
wengi mnafurahi mimi kufulia nawatuliza
kifuani na bado mnatulia
marafiki masnitch staki
wakujaziana nzi staki
ukijichanganya nakusheat staki
nakupangusa kama kamasi staki
stakagi shobo staki
kambali nakutema staki
stakagi shobo staki
kwenye vita mi sio mwema
mi napiga kaz kukicha everyday
napia naenjoy daily kw*ngu holiday
nikimwaga mboga na mwaga na ugali
upende usipende iyo mimi sijali
ili chaka la nyoka alikai mjusi
kujifanya unanijua unaleta makuzi
usinione nacheka sipendagi upuuzi
kama hauna mchongo basi unaweza uka mute
unacheka cheka unajishebedua
kama we ni snitch pita yako njia
kama unapima kina hichi uwezi kuogelea
wezako walishazama wengine wameshapotea
huu mchezo ni mgumu ahitaji asira
mwezako ninashinda we unatoka bila
bado amniwezi ata mje buku mia
nawatuliza kifuani na bado mnatulia
marafiki masnitch staki
wakujaziana nzi staki
ukijichanganya nakusheat staki
nakupangusa kama kamasi staki
stakagi shobo staki
kambali nakutema staki
stakagi shobo staki
kwenye vita mi sio mwema
haya mama weeeeee
haya mama weeeeee
haya mama weeeee
marafiki masnitch staki
wakujaziana nzi staki
ukijichanganya nakusheat staki
nakupangusa kama kamasi staki
stakagi shobo staki
kambali nakutema staki
stakagi shobo staki
kwenye vita mi sio mwema staki
ukijifanya we snitch mi ni snitch pia
ukijifanya unanidisi mi nakuangalia
ukileta za kiwtchi umefeli dear
nalindwaga na mungu baba devil no fear
Random Song Lyrics :
- rionero - cut yena lyrics
- loyal - maritza lyrics
- where music comes from - aaron allen lyrics
- estreite (part. josyara) - giovani cidreira lyrics
- deru sendu - angsa & serigala lyrics
- nunca critiquei - michele freire lyrics
- i love you - maskatesta lyrics
- クリーム cream - yama lyrics
- honeycomb - lvly lyrics
- laptop - dougie poole lyrics