
ndoto - chidycare lyrics
[intro]
usiku imengia na upweke unanizonga
nak*mbuka siku za furaha
tulipokua pamoja
sasa kila kitu ni kivuli umenitoka
na moyo w*ngu unaumia kila nikiwaza
[chorus]
yote yalikua ndoto
mapenzi yetu ya zamani
uliniacha na maumivu
na sasa naishi kwa k*mbuk*mbu
kila siku napolia
nakuk*mbuka wewe
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
is chidycare
[verse]
picha zako kwenye ukuta
zinanik*mbusha siku zako zamani
tulipokua na furaha
na upendo usiokuwa na mwisho
lakini sasa ni maumivu
moyo w*ngu unavuja
uliniacha na uzuni
na maisha bila muangaza
[chorus]
yote yalikua ndoto
mapenzi yetu ya zamani
uliniacha na maumivu
na sasa naishi kwa k*mbuk*mbu
kila siku napolia
nakuk*mbuka wewe
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
[verse]
kwanini uliondoka
kwanini uliniacha
ninajaribu kusahau
lakini maumivu hayapungui
nakutafuta kwenye ndoto
lakini haupo
na moyo w*ngu unaumia kila nikiwaza
chorus]
mapenzi yetu ya zamani
uliniacha na maumivu
na sasa naishi kwa k*mbuk*mbu
kila siku napolia
nakuk*mbuka wewe
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
[bridge]
yote yalikua ndoto
kwa sasa umenitoka
lakini moyo w*ngu
bado unakupenda
kwa siku zote za maisha yangu
nitakuk*mbuka
[outro]
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
Random Song Lyrics :
- intersectional - top ramen lyrics
- my time - springi lyrics
- sam sama sami - hurt (pl) lyrics
- humo canción - santa sabina lyrics
- toxic slip - brother cephus lyrics
- still though we should dance - radnor & lee lyrics
- já que te vais - tony carreira lyrics
- man of a thousand faces - ylvis lyrics
- dia vo lhizer (lattice mix) - eri sasaki lyrics
- au grand jamais - benz lyrics