
nimeamua - cogyok nbi lyrics
Loading...
nimeamua leo, nitakutumikia
nilikotoka mimi, singejitoa
gizani kabisa, ndiko ulinipata
nilikotoka mimi, singejitoa
gizani kabisa, ndiko ulinipata x2
ayoyo
sik*mbuki ya zamani mda hunikubalishi
nasonga mbele yalopita yamepita x2
nasema
sik*mbuki ya zamani mda hunikubalishi
nasonga mbele yalopita yamepita
ayoyo
sik*mbuki ya zamani mda hunikubalishi
nasonga mbele yalopita yamepita
najua si rahisi kutoboa mpaka mwisho
kuna milima, mabonde yaningoja
mito mikubwa lakini nitajikaza
kuna milima, mabonde yaningoja
mito mikubwa lakini nitajikaza x2
yahshuah mimi nafahamu
kuwa we upande w*ngu
sibabaiki niko sure nitashinda x2
yahshua sisi twafahamu
kuwa we u upande wetu
hatutishiki nbi tutashinda x2
Random Song Lyrics :
- muse - o.c.a.d lyrics
- jekkesesong intro - angelo reira lyrics
- who am i - precise the vice lyrics
- exhibit a - b-baz lyrics
- duet uit de parelvissers - andré hazes lyrics
- someday - niels brinck lyrics
- running - holly rey lyrics
- der sänger von björk - marsimoto lyrics
- dust the dirt - sybyr lyrics
- ambition - jimmy craig lyrics