lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

mbwa - d voice lyrics

Loading...

[verse 1]
mwambie nishatukana mamba
na mto nimeuvuka
tena niko salama
sijadhurika wala
nishafuta na number
na wala sijamk*mbuka aa
yaani niko salama
nalishwa nalala

[pre*chorus]
niliyempata tonge busu
sio tonge ngumi
nadekezwa rahaaa
sio tena nusu nusu
huba kilo k*mi
mwenzenu nadekezwa rahaaa

[chorus]
ex mbwa
na mashoga zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)
ex mbwa
na marafiki zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)
[verse 2]
kwa uzuri gani mpaka nikulilie
eti nitakuk*mbuka kwani
we baba wa taifa
labda niwe nimedata
ndio nikurudie eee
sina hata cha kujuta
ndio nikupe taarifa

[bridge]
huku wali n*z*
paka chai n*z*
sio wewe komando kipensi
mandonga mtu kazi
huku wali n*z*
paka chai n*z*
sio wewe komando kipensi
mandonga mtu kazi

[pre*chorus]
niliyempata tonge busu
sio tonge ngumi
nadekezwa rahaaa
sio tena nusu nusu
huba kilo k*mi
mwenzenu nadekezwa rahaaa
[chorus]
ex mbwa
na mashoga zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)
ex mbwa
na marafiki zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)

Random Song Lyrics :

Popular

Loading...