
chuki - da wyre lyrics
[intro]
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
[verse 1]
ni sababu gani mwanitenda hivi
uwongo mwanena kunihusu mimi
hamnifahamu hamjui
chenye nafanya maishani
mw*ngu nyumbani
mw*ngu nyumbani
mijidai eti nyie marafiki
k*mbe nia zenu zilikuwa kundi
kunitenganisha na mpenzi
wa roho yangu na kuniacha
mashakani, taabani
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[verse 2]
mambo yenu mi sishughuliki nayo
mnavyoishi mimi sina hoja nayo
kinachonihusu si lazima
mkifahamu na kushinda
mkipiga domo
mkipiga domo
mlichotenda kw*ngu kweli hakifai
kiw*ngo cha unchungu mlinipa yaani
sina heshima kwenu tena
ukuta wa chuki mlijenga
kati mi nanyi
kati mi nanyi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[bridge]
na na na na na na…
ni shida kuamini yaani
na na na na na na…
kiw*ngo cha uchungu mlionipa
na na na na na na…
heshima kwenu mimi sina tena
na na na na na na…
basi chuki ndio mimi nahisi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
Random Song Lyrics :
- amen - paster lyrics
- riflesso - sara crisafulli lyrics
- too thick to bleed - boogie t.rio lyrics
- free body - summrs lyrics
- credits song - pink velvet lyrics
- jim's teeth - meat wave lyrics
- feelings - kib kwanel lyrics
- we fall - reigan lyrics
- price tag* - cici ware lyrics
- очень мила (so cute) - лиззз (lizzz) lyrics