
hakuna hasara - devotha severian lyrics
tumaini langu nimeliweka kwako
bwana yesu w*ngu uliye niokoa
tumaini langu nimeliweka kwako
bwana yesu w*ngu uliye niokoa
nakunipa ufahamu tena eeh
nilio kuwa nimenyang’anywa na shetani nyakati za ujinga
sasa nimekuja yesu
wewe ni mwema
ulinivuta kwako bwana
uniokoe
wewe ni mwenye huruma nyingi
hakuna mfano
maana umenisamehe dhambi
nilizotenda
sasa nimekuja yesu
wewe ni mwema
ulinivuta kwako bwana
uniokoe
wewe ni mwenye huruma nyingi
hakuna mfano
maana umenisamehe dhambi
nilizotenda
kama mzazi na mwanae
aonapo amechaf*ka kwa matope
humuosha kwa maji safi na sabuni
ili mtoto awe safi tena namimi pia umenisafisha uovu w*ngu baba
kama mzazi na mwanae
aonapo amechaf*ka kwa matope
humuosha kwa maji safi na sabuni
ili mtoto awe safi tena
wale waliotekwa na shetani
wanasema
ninapoteza muda kuwa nawe yesu wamemfanya kuwa ni rafiki
tena baba yako
hawajui siku moja watajuta
mmelijua hilo ohoo shetani na wafuasi wake watatupwa motoni
yesu nik*mbatie uuuuu
ili nisiangushwe uuuuu
yesu nik*mbatie uuuuu
ili nisiangushwe uuuuu
hakuna hasara kwako yesu
hakuna hasara
hakuna hasara kwako yesu
hakuna hasara
hakuna hasara kwako yesu
hakuna hasara
hakuna hasara kwako yesu
hakuna hasara
Random Song Lyrics :
- what the fuck - h4rtbrkr lyrics
- receba - jaqueline alves lyrics
- days go by - king attila lyrics
- cullinan - tharusha silva lyrics
- アベ・マリア (ave maria) - ikd-sj lyrics
- space x - les bas-vilains lyrics
- last na 'to - vanessa mendoza lyrics
- sugar [remix] [mixed] - robin schulz lyrics
- acquittal - pastor charles a.r. lyrics
- lila - the starry mountain sweetheart band lyrics