
utamu wangu - dollar lossa lyrics
macho yana kazi gani, nikikosa kukuona
moyo w*ngu taabani, mwili unapatwa na homa
wewe beibee, weewe beibeee…
umenishiika maini siyo masihara
una mapeenzi ya pwani mpka na ya bara
haaa beibee, weewe beibeee…
sasa nimepoona, sina hofu teena
wewe mwenye huruma, ntakupenda daima
sasa nimepoona, sina hofu teena
wewe mwenye huruma, ntakupenda daima
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
nitakupa ya moyoni, we utamu waangu
nawewe unipe ya moyoni, we utamu waangu
nanitakutunza kama mboni, we utamu waangu
nawe unitunze kama mboni, we utamu waangu
watakuja wenye mali, wenye nyumba na magari
hao ni wadanganyifu, usinishushe daraja
unipende kweli kweli, j*po kapuku wa hali
ntakupenda mara dufu, hutoikosa faraja
sasa nimеpoona, sina hofu teena
wewe mwenyе huruma, ntakupenda daima
sasa nimepoona, sina hofu teena
wewe mwenye huruma, ntakupenda daima
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
ouh! wouh! woooh! we utamu waangu
nitakupa ya moyoni, we utamu waangu
nawewe unipe ya moyoni, we utamu waangu
nanitakutunza kama mboni, we utamu waangu
nawe unitunze kama mboni, we utamu waangu
wanimaliza, wanimaliza
beiby wanimaliza, wanimaliza
ukinishika huku, wanimaliza
ukinipiga busu we, wanimaliza
we nikila kitu, wanimaliza
moyo w*ngu uchukue, wanimaliza
mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu, wanimaliza
mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu, mpaka juu jama, wanimaliza
Random Song Lyrics :
- famous enough - casualsexclub lyrics
- um brigadeiro e um amor - pedro e benicio lyrics
- never thought - scrooge kid lyrics
- autumn orange - aaa lyrics
- secawan madu - eny sagita lyrics
- sanctify - st. paul and the broken bones lyrics
- your love - nightcore lyrics
- la la la - running music workout lyrics
- key to the streets remix - yfn lucci lyrics
- pillow - bisa kdei feat. mugeez lyrics