
kichaa wa yesu - don santo lyrics
intro
stanza one
katika safari ya wokovu
umekuwa nami rafiki
ingawa nimekuwa muovu
haujasita kunistiri
katika safari ya wokovu
umekuwa nami rafiki
ingawa nimekuwa muovu
haujasita kunistiri, bwana!
pre*chorus
aram tapa tapa za maisha hazinistedi
hata mikora ya kidini wapo we know already
mungu ndiye jaji
rabana ndiye pedi
hallelujah!
chorus
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
bwana ni rafiki
tena egemeo
stanza two
na mbona santo nisishukuru kwa ulonipa
familia umenipa, laisha na dahlia
oooh bwana
mbona nisichizi kwa bahati zote
katika safari ya wokovu
umekuwa nami rafiki
ingawa nimekuwa muovu
haujasita kunistiri, bwana!
pre*chorus
aram tapa tapa za maisha hazinistedi
hata mikora ya kidini wapo we know already
mungu ndiye jaji
rabana ndiye pedi
hallelujah!
chorus
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
bwana ni rafiki
tena egemeo
Random Song Lyrics :
- an vater - gerhard gundermann lyrics
- the end (reimagined) - as it is lyrics
- the clans will rise again - grave digger (band) lyrics
- toxic - seemee lyrics
- white lightning - the babys lyrics
- boneindian - miles benjamin anthony robinson lyrics
- od yair alay - עוד יאיר עליי - harel skaat - הראל סקעת lyrics
- black triangle sovereigns - agarthi lyrics
- que te vaya bien - titán salguero feat. ortiz420 lyrics
- life is strange - louverture lyrics