
furahi - dulla makabila lyrics
[intro]
oh*oh, oh, oh, oh
oh*oh, oh, oh, oh
oh*oh, oh, oh, oh
mm, mmm, mmm
we furahi
(?)
[verse 1]
kwanza najua ulinipenda ulimbukeni wa umaarufu, ndio sababu ukaniacha
ukimcheki wolper na uwoya, ukaona tamthilia ka zina kuchelewesha
k*mbuka ile siku ulitaka penzi, ukanikazia, kisa laki nane, nami si kukukatalia
ukasema nikutumie kwanza ndio mzuka nitakao kugea
yaani tupo ndani ya ndoa ila bado ulinidangia
nami sishangai njia ndio inavyokuwa, umeniacha mimi, mzungu amekuvutia
mpende baba wa watu ana ugonjwa wa kuzimia
ukileta manjegeka, utapewa kesi ya kuua
[chorus]
we furahi, nimekuacha, furahi
we furahi, nimekushindwa, furahi tu
we furahi, twiga wa chamazi, furahi
we furahi, mwenyewe umepata mzungu, furahi tu
[verse 2]
ila wasanii wenzangu, maua yao wapewe, walivyo sherekea kama sio wao
hongera walizotoa kw*ngu na kwa mzungu vile vile, unafiki upo ndani ya mifupa yao
kila siku kuolewa, kuachika, nakuomba utulie
mimi si ulininywea p2?, basi huyo mzungu, mzalie
na ile tabia ya kupenda ku*trend, ungebadilika
yaani mambo ya chumbani, kwa lokole yashafika, na ile siri yetu mpaka leo mi nimeificha
nawe jitahidi mzungu asijue kama hujui kupika
[post*chorus]
we furahi, nimekuacha, furahi
we furahi, nimekushindwa, furahi tu
we furahi, twiga wa chamazi, furahi
we furahi, mwenyewe umepata mzungu, furahi tu
gs music
[instrumental outro]
monster like a monster and this is a good monster
Random Song Lyrics :
- karma - lando1804 lyrics
- paraları katla - zecki lyrics
- never alone - kelechief lyrics
- un peu d'amour - magenta musique lyrics
- no hay marcha atrás - matiasgaming lyrics
- madelyne - carv lyrics
- cash cow - azazus lyrics
- our club 2 (наш клуб 2) - nnewmann lyrics
- ты любишь танцевать (you like dancing)* - cupsize lyrics
- coma - greyson lyrics