
tamika - dully sykes lyrics
[chorus]
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik*mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh*oh
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik*mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh*oh
[verse 1]
yapata mwaka, miezi
tangu utoroke nyumbani mpenzi
watoto wamekosa malezi
sababu yako, tamika mpenzi
oh*oh
[verse 2]
naomba piga j*po simu
unieleze unapo ishi, eh,eh
uchangamfu na ucheshi
hii wako sasa ni simulizi
oh*oh
[verse 3]
watoto w*n*lia njaa
na baba yao sina hata kazi
eh*eh
nitakuja kupata uchizi
sababu yako tamika mpenzi
rudi nyumbani
[chorus]
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik*mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh*oh
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik*mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka, aah
oh*oh
[verse 4]
walimwengu sina furaha
na ishi kwa taabu na karaha
ah*ah
naimba huku nasononeka
kwa mambo aliyo yafanya tamika
oh*ooh
[verse 5]
uzuri wake akicheka
nikimk*mbuka na huzunika, ah, ah
sina hata la kufanya
au sababu mimi sina pesa?
oh*oh
[verse 6]
moyo w*ngu unadunda
ni jinsi gani ninavyo kupenda
wazazi wako hawajui
pahali gani ulipo kwenda
oh*ooh
[verse 7]
hebu tamika kwanza k*mbuka
huku nyumbani umeacha watoto, oh
na mimi mzazi mwenzako
na kufikiria wewe uliko
rudi nyumbani
[chorus]
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanateseka, aah
nikik*mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka
oh*oh
rudi nyumbani, tamika
kwani watoto wanatesеka, aah
nikik*mbuka tuliko toka
roho yangu ina sononeka
oh*oh
[outro]
yeah (?), dully sykes
tamika rudi, ‘dully anakutafuta, wacha k*mtеsa
mombasa, ‘nimemtafuta
kampala, ‘nimemtafuta
nairobi, ‘nimemtafuta
tamika, nimemkosa
mombasa, ‘nimemtafuta
kampala, ‘nimemtafuta
nairobi, ‘nimemtafuta
tamika, nimemkosa
mombasa, ‘nimemtafuta
kampala, ‘nimemtafuta
nairobi, ‘nimemtafuta
tamika, nimemkosa
Random Song Lyrics :
- assimilation ii - grace abnormal lyrics
- mon cherie - the balladeers lyrics
- bileet on ohi - yacon lyrics
- a une malabaraise - richard ankri lyrics
- big dog - fl3a lyrics
- far too hard (demo 2nd mix) - dead or alive lyrics
- bege diss - 13 killoki lyrics
- dry state - siyaahi lyrics
- misi kardia - dj stephan lyrics
- it ain't cool - bruce sudano lyrics