
barua ya dunia - elani lyrics
[verse 1: brian chweya]
hujambo salam dunia
ni siku nyingi hatujaongea
hizi enzi
mbona huna penzi
[wambizzy]
nimekuandikia barua
ningeweza ningekupigia
geti kali, inalia
machozi ya sifa
[hook]
usinilenge, juu siku moja nitakulenga pia
usinicheke, juu siku moja nitakucheka pia
bobea bobea, bobea bobea
ngojea nita bobea pia
bobea bobea, bobea bobea
ngojea nitabobea pia
[verse 2]
sina mengi ya kusimulia
ila tu ni barua ya dunia
aaaahh… barua..
mashinani w-n-lia lia
umri ndio huo, uzee unaingia
sina fedha, hisia wala njia eh
ya kujitafutia
nikimalizia barua, geti kali uwe na huruma
mraia -n-lia, machozi ya simba
[hook]
[bridge]
sina mengi ya kusimulia..
barua ya dunia…
mbona hukunijalia, dunia….
[hook]
[outro: brian chweya]
sina mengi ya kusimulia
barua ya dunia, barua….
Random Song Lyrics :
- blue moon - smug mang lyrics
- rap in cafe - hate me then i hate you - 1 day lyrics
- champs - demdz lyrics
- plk - lifsa lyrics
- roll up - sturla atlas lyrics
- pat stay vs head i.c.e - king of the dot lyrics
- come inside of my heart - iv of spades lyrics
- battle skyrock - sinik vs gaiden lyrics
- all remote and no control - eric avery lyrics
- prodigy - shabazzz lyrics