
uniongoze - ephraim sekeleti lyrics
Loading...
uniongoze na huruma zako
usipo nibariki siwezi enda
minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
kwa mkono wako kweli umenibariki, ih, ih
kwa mkkono wako kweli umenibariki (2)
(baraka zako)
baraka zako ziwe na mimi,
mapenzi yako yawe na mimi,
namacho yako yawe na mimi
kwa mukono wako kweli umenibariki, kwa mukono wako kweli umenibariki
ulinichagua kabla sijazaliwa
ukanichagua nabii wa mataifa yo
utaninitangulia siatogopa chochotex2
baraka zako ziwe na mimi,
mapenzi yako yawe na mimi,
namacho yako yawe na mimi
kwa mukono wako kweli umenibariki, kwa mukono wako kweli umenibariki
tembea nami ee bwana
tembea nami baba yoo
Random Song Lyrics :
- neesh (sting) - ramesh lyrics
- nikes - da corix lyrics
- my favorite cyanide - chalkline lyrics
- slow mo - gedz lyrics
- sebita x siempre - patricio jesús lyrics
- gotham - sloan lyrix lyrics
- body tweak - smyledogg lyrics
- alt mad - 21rave lyrics
- screaming in suburbia (live at the cavern club 2020) - the cribs lyrics
- de tes yeux bleus perlés - celeste (band) lyrics