
ahadi - eric maingi lyrics
viko wapi vile vitu ulisema utavileta
wapi ahadi ulisema utatekeleza
yuko wapi yule mjomba ulisema utanionyesha
na wapi manukato ulisema utatengeneza
umeahidi, ukaahidi
bado hujatekeleza
itanibidi, itanibidi
mimi kukuondokea
jana ulitoka mapema
ukasema kuna jambo limetokea
chai kikaachwa kwenye meza
na gari likafuata bendera
nilipofuatilia
ikakuwa ni umbea
ukalipuka hasira ya kulewa
ukatamka maneno fedheha
na baada yaliyotokea
ukasema unanipenda
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli (umeahidi, ukaahidi)
ni ahadi ya kufeli (bado hujatekeleza)
ahadi yako kweli (itanibidi, itanibidi)
ni ahadi ya kufel (mimi kukuondokea)
ahadi yako kweli (umeahidi, ukaahidi)
ni ahadi ya kufeli (bado hujatekeleza)
ahadi yako kweli (itanibidi, itanibidi)
ni ahadi ya kufeli (mimi kukuondokea)
Random Song Lyrics :
- for your eyes only - spice jar lyrics
- gbc - jxxpsinnxr lyrics
- you belong to the city - mac miller lyrics
- raw - alby woolridge lyrics
- drives - the young escape lyrics
- mountain - 2hollis lyrics
- heaven - jonah marais lyrics
- reflection in the water - redemption draweth nigh lyrics
- summer night supercuts - josh kerr lyrics
- hope you gettin' it - beedie lyrics