
kumbe kumbe (feat. bahati) - mr. seed lyrics
mr seed eh, na bahati bahati tena
(emb records)
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, ni ra raha haa
k-mbe k-mbee, ni ra raha haa
wacha niwashow oh oh
kwa yesu ni raha
namwita papa god oh eeeh
niliokoka wakacheka hoh hoh hoh
wakanipa wiki sasa ni more oh oh
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma, kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma, kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, ni ra raha haa
k-mbe k-mbee, ni ra raha haa
hakuna hangover
ila bila gharama
labda turuke kesha
au kulala salama ah
yesu asifiwe, hadi dar sallama
hapa tu ni baraka, hatutaki laana
si ni wachanga ndio,
na tunataka raha ndio
tusiharibu matarajio
ju raha za shetani ni mashaka ndio
si ni wachanga ndio,
na tunataka raha ndio
tusiharibu matarajio
ju raha za shetani ni mashaka ndio
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma, kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, ni ra ni raha haa
k-mbe k-mbee, ni ra ni raha haa
si ni wachanga ndio,
na tunataka raha ndio
tusiharibu matarajio
ju raha za shetani ni mashaka ndio
si ni wachanga ndio,
na tunataka raha ndio
tusiharibu matarajio
ju raha za shetani ni mashaka ndio
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma, kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma, kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, k-mbe k-mbe eeh
kwa yesu ni raha haaa
k-mbe k-mbe, ni ra ni raha haa
k-mbe k-mbee, ni ra ni raha haa
kwa yesu ni raha haa
kwa yesu ni raha haa
ah k-mbe k-mbe, ni ra ni raha haa
(emb records)
Random Song Lyrics :
- i'd have to be crazy - sturgill simpson lyrics
- dna - reckless serenade lyrics
- ludi brane ludi djare - fox lyrics
- wolf eyes - the godfathers lyrics
- open the lights - confus lyrics
- ángeles - marwan [es] lyrics
- rap battle: jay lethal vs kazuchika okada - fauzaan da freestylah lyrics
- born clever - kat frankie lyrics
- tiruriru - alcomindz mafia lyrics
- i'm free - delyric oracle lyrics