
umechelewa - gaza lyrics
intro
verse 1
napata ujumbe kwa simu nikicheki natambua hii nambari, nausoma huo ujumbe (umetoka wapi sijui huyu ni nani)eti wanijulilia hali waomba niko salama, lakini mi na we twajua ukweli halisi
chorus
walikosa penzi, wahitji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa wataka tuanze tena
maji yakimwagika (hayazoleki tena) maji yakimwagika (haya zo oleki tena)
verse 2
chambilecho wahenga (mpende akupendae asokupenda wachana nae) pia walisema (usiwache mbachao kwa msaaal a upitao) huwezi rudi nyuma (siwezi rudi nyuma siwezi rudi nyuma) usione kovu ukadhani kidonda kapoa
chorus
walikosa penzi, wahitji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa wataka kurudi kw-ngu kuwa w-ngu ili mradi uniite asali wako wa moyo. walikosa penzi, wahitaji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa unataka tuanze tena. walikosa penzi, wahitaji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa unataka tuanze tena
Random Song Lyrics :
- advert (live at hyde park, 02/07/2009) - blur lyrics
- red light - revolver kye lyrics
- rooh - روح - ahmed batshan - أحمد بتشان lyrics
- neylədim - zeynəb həsəni lyrics
- up in the air - ivy wells lyrics
- krollo64 - 16:9 krollo ✥ lyrics
- more than horses - unfortunate flavors lyrics
- only fans - yvs village lyrics
- hey now - kryder & ginchy lyrics
- tracy took a trip - the executives (uk) lyrics