
kizamani, kisasa - geezer lanez lyrics
[intro]
kuandika mashairi ni ngumu ujue
geezer lanez
yoh!
[chorus]
kizamani, kisasa
kizamani, kisasa
simba amenasa
walionikataa, wananiita hustler
kizamani, kisasa
samatta au ng-ssa
walionikataa, leo wananiita hustler
[verse]
kizamani, kisasa
mashairi yamenasa
niko na marafiki hawa wa kisasa
mashabiki wapo facebook yaani kisasa
tungekuwa zamani yaani nani angenasa
simba amekuwa n.a.s.a
bado tuko anasa
mapenz yamekuwa mazuri yaani na anasa
natumia condom navyoweza na kisasa, mda umekwenda
yaani kizamani, kisasa
[chorus]
kizamani, kisasa
kizamani, kisasa
walionikataa, leo wananiita hustler
kizamani, kisasa
kizamani kisasa
samatta au ng-ssa
walionikataa, leo wananiita hustler
kizamani, kisasa
kizamani, kisasa
walionikataa, leo wananiita hustler
kizamani, kisasa
samatta au ng-ssa
walionikataa, leo wananiita hustler
[instrumental]
[outro]
never give up, never, never
never give up, never, never
never
Random Song Lyrics :
- elimi kana bulama benim - azer bülbül lyrics
- sin sentir* - seven kayne lyrics
- jest później niż ci się wydaje - kafar dixon37 lyrics
- nanana - karmen stavec lyrics
- devourer - aidoneus lyrics
- アイン♡ (a-ing♡) - japan ver. - orange caramel lyrics
- sur alabanzas - miguel cantilo lyrics
- #blktwtr - nurenaissance lyrics
- machine - divine ascension lyrics
- kutsal - zelzele lyrics