
why hide it - goldwash lyrics
ey ohooo ayoooo
nilianza kama moja pili nikusubili mama ahaa mi ndo taa umenizima mshumaa
usiku silaliii nawaza sarali usiku silaliii nisake sarali mama ahaa nilikwamini mw-nga gizani uwe na mimi tukiwa chumbani
nilikwamini mw-nga gizani uwe na mimi tukiwa chumbani mamaaa
ingali mapema ningetambua kwamba hiki sio chema nikagundua ingali mapema ningetambua kwamba hiki sio chema nikagundua
tena umezuka na utani et napungua kwa w-ngu majirani kisa umekimbia ayy unanipa mawazoo mama ohoo usiku silali unanijiaga ndotoni aahh nilikwamini mw-nga gizani uwe na mimi tukiwa chumbani
nilikwamini mw-nga gizani uwe na mimi tukiwa chumbani mamaaa
ingali mapema ningetambua kwamba hiki sio chema nikagundua ingali mapema ningetambua kwamba hiki sio chema nikagundua ingalimapema ningetambua kwaba hiki sio chema nikagundua
Random Song Lyrics :
- stay - mike tramp lyrics
- lower them down - smallz one lyrics
- q me extrañe - lil ziphe lyrics
- lazy life - william e lyrics
- 祝你爱我到天荒地老(wish you love me forever) - 颜人中(ele yan) lyrics
- coming home song - masha and the bear (serie) lyrics
- parasite - oceans lyrics
- jesus is (live) - anchor hymns & chaunda jefferson lyrics
- strong as i am - alethea lyrics
- bakkal amca - kukuli lyrics