
shukurani - goodluck gozbert lyrics
nina kushukuru mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili
nina kushukuru mungu tena sababu ya vingi, hata nikiwa nasali unajua namaanisha
sio kama eti nilitenda wema wakuja linganisha na matendo yako makuu mimi mungu ningekulipa nini
ulikonitoa ni siri ya moyo w*ngu matopeni topeni ukaniketisha na wakuu juu
umenipa heshima ukanifuta machozi asante ooh baba
hata shukurani zangu ni kwako
shukrani zangu ni kwako
na shukurani zangu ni kwako
shukurani zangu ni kwako, asante baba ooh
aibu umefuta fedheha umefuta
umenipa amani iliyo ya kweli nak*mbuka nalia mimi ni yule ambae
nilitukanwa na kwa dharau wakasema kwisha habari yake kuna kipindi nilikufa nikawa mifupa inayotembea
ikiwa kwa siku za usoni walisema tun*z*ka kesho
ila kwa huruma uliniponya na kaburi kwa hurumaa na sitosahau wema wako wee baba
hata shukurani zangu ni kwako
shukrani zangu ni kwako
na shukurani zangu ni kwako
shukurani zangu ni kwako, asante baba ooh
kama kusoma tumesoma wengi umeruhusu niwe na kazi nzuri
ajali tulipata wengi umeruhusu nibaki nauzima (asante baba)
ndoa zilifungwa nyingi umeruhusu tubaki na amani
furaha wanakosa wengi umeruhusu tabasamu kw*ngu
na shukurani zangu
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama, yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
yelele, yelele mama, yelele mama, yelele mama yelele
Random Song Lyrics :
- stop speaking - jennylee lyrics
- bandido - superfresh & milano the don lyrics
- dhoa - aftermath lyrics
- heautontimorumenos - tutti fenomeni lyrics
- the silent ones - nest of plagues lyrics
- strands of light - paarth acharya lyrics
- family man - the head and the heart lyrics
- hallo anna - frinc lyrics
- everything's alright - jesus christ superstar 2000 revival cast lyrics
- gore freestyle - lei lyrics