
wawa - haitham kim lyrics
(wawawawaa wawawawaa)
(wawawawaa wawawawaa)
huwaga mapenzi yana utesa moyo wengi wanapagawa
endapo ukiamini unajua mapenzi utalivuka daraja
wengi wanasema eti yana dawa hivi nani aliye pendwa
ingawa na mimi ukaniona sawa ndio wale wale walio tendwa
hata na mimi nibaki hivihivi
(hivi hivi)
nibaki hivihivi nisiwe wa kujisonya nitaumia
(wawawawaa) nishushe nanga nibakie
(wawawawaa) yani ni bora nituliee
(wawawawaa) maumivu ya mapenzi nisivamie
(wawawawaa) nijivute vumbi nisijichafue
maumivu ya kidonda nikazi kuya himili (haayeee)
unaweza ukapona lakini ikawa bado ndani (haayeyeee)
natena ilivyo tabu mateso kuyakabili (haayeee)
ukose pa kupapasa moyo uwe tafarani (iyeee)
hata na mimi nibaki hivihivi
(hivi hivi)
nibaki hivihivi nisiwe wa kujisonya nitaumia
(wawawawaa) nishushe nanga nibakie
(wawawawaa) yani ni bora nituliee
(wawawawaa) maumivu ya mapenzi nisivamie
(wawawawaa) nijivute vumbi nisijichafue
Random Song Lyrics :
- колыбель - twinsy (rus) lyrics
- neben mir - nina chuba lyrics
- seeds - dirty machine lyrics
- u treat me like a monster - xaxanity lyrics
- all my friends - stvn lyrics
- falling apart - anoraak lyrics
- chapelet dans ma fouille - eloquence & joe lucazz lyrics
- scissors - hell and back lyrics
- love is not a simple thing to lose - wrabel lyrics
- bloody call - furkan karakılıç lyrics