
tausi wangu - happy c lyrics
[intro]
ooh ayayaya
toti on the beat
[verse 1]
fumba macho usione, nina zawadi nimekuletea
baby no usigome, kama mapenzi basi ongezea
asali yangu nairamba nimalize kibuyu
w*ngu wa ndani nimumunye mi ni wako mahabusu
usinitenge kwenye msoto,kwenye joto nifute jasho
nibembeleze kama mtoto uilinde hadhi yangu
[pre chorus]
wenye husda achana nao
tumejenga kuta ya kutengana nao
wenye husda achana nao
tumejenga kuta yeah yeah yeah yeah
[chorus]
tausi w*ngu wa pekee [ooh] wa pekee
kipenda roho wa pekee [ei yeah] wa pekee
tausi w*ngu wa pekee [oooh] wa pekee
kipenda roho wa pekee [ah yeah yeah yeah] wa pekee
[verse 2]
moto umeuzima,siwezi kwenda kwingine
tumekula yamini, mimi na wewe
umenivuruga umenifanya dondocha,siwezi dondoka umenishikilia
mapenzi tamu tamu unanipa naburudika nafarijika mama
[pre chorus]
wenye husda achana nao
tumejenga kuta ya kutengana nao
wenye husda achana nao
tumejenga kuta yeah yeah yeah yeah
[chorus]
tausi w*ngu wa pekee [ooh] wa pekee
kipenda roho wa pekee [ei yeah] wa pekee
tausi w*ngu wa pekee [oooh] wa pekee
kipenda roho wa pekee [ah yeah yeah yeah] wa pekee
ooh yeah ooh
[bridge]
simama wakwone jishebeshebedue
cheza wakwone wakomeshe
simama wakwone ringa ringa
cheza wakwone wakomeshe
simama wakwone jishebeshebedue
cheza wakwone wakomeshe
simama wakwone ringa ringa
cheza wakwone wakomeshe
[outro]
sultan 001
they call me happy c yeah
yeah yeah
Random Song Lyrics :
- yeguas hasta la muerte - ep - alondra michelle ft alex omar lyrics
- .quiet luxury. - bambino47 lyrics
- ...and the children shall lead - i love you (band) lyrics
- kompa - rarin lyrics
- sr. correcto - los enemigos lyrics
- invested - the colleagues lyrics
- 水色曜日 (mizuiro yobi) - natural lag lyrics
- 11 rings - ibbi too vicious lyrics
- where have the actors gone - morten lauridsen lyrics
- symphony (remix) - karbeats, yan block & brray lyrics