
anajikosha - harmonize lyrics
(this one is a banger)
ahaahahaha jeshi, awiii!
(daxo chali)
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
jumamosi kakesha *n*lewa
jumapili kanisani, anajikosha
eti sipendi vya kupewa
bango *n*lipa shabani, anajikosha
shoga jana nilinoga
na nywele yako umetisha, anajikosha
nimesharudi naoga
jioni nitairudisha, anajikosha
kwanza hata usitume tena
tayari nishazila, anajikosha
hasa baby nitakula nini
zilikuwaga ni hasira, anajikosha
penzi bichi makele bwana
nimehama nipo mbweni, anajikosha
tena huku ni baridi sana
huhitaji hata feni, anajikosha
awii, awaaa
awii, awaaa
awii, awaaa
awii
asa lelele, lelele lelelelee
lelele lelelelee
tuimbe tena, lelele lelelelee
lelele lelelelee
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
baby baby umeniweza kwa bedi
simk*mbuki juma wala mohamedi
ila mbona simu yake sasa
hataki nijue password, anajikosha
nitanyoosha chuma
pengine shida mtandao, anajikosha
nikipiga kwa watoa huduma
maelezo ni kibao, anajikosha
mi siwezagi za kucheza cheza
na mshipa ngiri, anajikosha
mara ghafla kaihama meza
anakimbia ya pili, anajikosha
hio ndinga ilikamatwa
nikampa leseni, anajikosha
k*mbe aliena kuvimba tabata
na kademu pembeni, anajikosha
awii, awaaa
awii, awaaa
awii, awaaa
awii
asa lelele, lelele lelelelee
lelele lelelelee
tuimbe tena, lelele lelelelee
lelele lelelelee
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
yebo, yebo, yebo
Random Song Lyrics :
- flow cs 1.6 - sloope lyrics
- katatonia (suffocation cover) - rage of kali lyrics
- sad truth - van stalin lyrics
- what then - greg x. volz lyrics
- willing & able/bogalusa - ariel pink lyrics
- trappin with yo mama - trevlar lyrics
- love like death - michael kay lyrics
- fuori casa - crims lyrics
- ненастоящая любовь (unreal love) - ёлка (yolka) lyrics
- eugene debs - anasarca lyrics