
nishapona - harmonize lyrics
imani nafsi inaniambia
haukuwa fungu langu
na sidhani kama nilikosea
kuukabidhi moyo w*ngu
ulinidanganya mapenzi ni zuri basi
panda twende safari
bila kujua la kwako ni mwendo kasi
ghafla ukanipa ajali
upweke umetawala nafsi
mwenzako usiku silali
ninahesabu mabati
kisa wewe
sijutii moyo w*ngu
kupenda nisipopendwa
sirudii makosa yangu
ujinga wakati wakwenda
kinachoniuma roho yangu ooh
kuwapa neno wahenga
maana si kwa posti zangu
na kujinadi napendwa
nishapona, nishapona
nishapona ila mazoea
basi nenda umwambie
nishapona!
oooh mwambie
basi umwambie eeh
nishapona ila mazoea
heshima kunyenyekea
nilivyomnyenyekea
akaniona si chochote kwake
mazima akanipotezea
akanipotezea, alipomaliza shida zake
na bado siamini kweli ndo yule
alokuwa akisema, halali asiponiona
na kujilisha ya nini? yote ni bure
nikamwita chanda chema, alinidanganya
zile miziki za kunichombeza, zinaniuma roho
mara akinidekeza, elaji njoo
ungesema nilipoteleza, nikamwomba koo
si vyema amenitelekeza mb kisadooo
basi nenda umwambie, nishapona!
oooh mwambie
basi umwambie eeh
nishapona ila mazoea
basi nenda umwambie, nishapona!
oooh mwambie
basi umwambie eeh
nishapona ila mazoea
nenda kamwambie naja
nenda kamwambie naja
basi nenda kamwambie naja
nenda kamwambie naja
Random Song Lyrics :
- blue screen - guero lyrics
- having myself a time - billie holiday lyrics
- ride or die - privaledge lyrics
- por ella - josé feliciano lyrics
- til the end of time - trippie redd lyrics
- straight from the heart - toto lyrics
- une super chanson - les pistolets roses lyrics
- la faute à qui ? - yung wins lyrics
- gran santiago - teleradio donoso lyrics
- charmaine champagne - the fiery furnaces lyrics