
tanzania - harmonize lyrics
amen, amen, amen
tanzania
nchi yangu
mama samia
rais w*ngu
hussen mwinyi
rais w*ngu
amani upendp
ndio ngao yangu
tanzania
nchi yangu
mama samia
rais w*ngu
hussen mwinyi
rais w*ngu
bara na visiwani wee
mambo ni sawa
shetani alaaniwe
asije tugawa
tumuenzi nyerere
abeid amani karume
wapiga kelele
acha roho ziwaume
naipenda tanzania
hasa hasa ya samia
naipenda tanzania
tanzania ya samia
mungu tubariki baba
amen, amen, amen
tanzania
nchi yangu
mama samia
rais w*ngu
hussen mwinyi
rais w*ngu
amani upendp
ndio ngao yangu
ni furaha
ni furaha
kuzaliwa tanzania
ni furaha
nina furaha
ni furaha
najivunia tanzania
ni furaha
bara na visiwani wee
mambo ni sawa
shetani alaaniwe
asije tugawa
tumuenzi nyerere
abeid amani karume
wapiga kelele
acha roho ziwaume
naipenda tanzania
hasa hasa ya samia
naipenda tanzania
tanzania ya samia
mungu tubariki baba
Random Song Lyrics :
- gotta go - death plus lyrics
- delhi jaane tere yaar ne - amit saini rohtakiya lyrics
- you had me at "i'm gonna ruin your life" - jason bajada lyrics
- prodigy son - ophelia sent me lyrics
- sommeil - olam lyrics
- raise her - kissing candice lyrics
- sex - william hinson lyrics
- ciripitoare - alean lyrics
- look away - deap vally lyrics
- draw a line - jason bajada lyrics