
unitoke - ibrah nation lyrics
k-mbato na busu
ndio vyakunidanganyia
nami niamini napendwa kwenye dunia
je nikigeuza shingo unanifikiriaga?
mbona nikipiga sim hutak kupokeaga!
sina dhamana
sijakuzaa
unamaamuzi yako
k-mpenda anaekufaa
ningejaliwa mali
ningekupa
usiwaze mwingine tena
unipende tuu mi dada
umenikoleza na nimekolea
nikajua moyo utatulia
kwenye jamvi yeah
sikuja kwako mi nije kulia
niliona furaha dear
nikaweka kambi yeah
nitafanya ninachoweza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
kama muda nimeshapoteza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
unitokeee
siwez kujidanganya
najua wanichanganya
mwenzangu amenizidi utundu
huwa nakuona
mara nyingi ukiongea nae
natamani nianzishe mavurugu
sina dhamana
sijakuzaa
unamaamuzi yako
k-mpenda anaekufaa
ningejaliwa mali
ningekupa
usiwaze mwingine tena
unipende tuu mi dada
umenikoleza na nimekolea
nikajua moyo utatulia
kwenye jamvi yeah
sikuja kwako mi nije kulia
niliona furaha dear
nikaweka kambi yeah
nitafanya ninachoweza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
kama muda nimeshapoteza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
unitokeee
Random Song Lyrics :
- dog eat world - sator lyrics
- непозитивный человек (the unpositive person) - dekma lyrics
- inseparables - yahritza y su esencia & ivan cornejo lyrics
- e s p r - みきとp (mikitop) lyrics
- switch it up - realyungphil lyrics
- pyramid club - rebecca peake lyrics
- lila's theme - lila drew lyrics
- eldorado (e. a. poe) - sanah lyrics
- heard you the first time - lydmor lyrics
- cerco un posto - alfa lyrics