
michuzi - j93 lyrics
randu boy
verse 1(j93 )
yeah aaah yeah
toka kiwalani sio mtoto wa kigogo
naishi mzizima j*po mtoto wa kigogo
maisha poa, ila sio mtoto wa kigogo
navyowasumbua kama twitter na kigogo
it’s all about some money
sifanyi for fun
familia inataka msomi mezani
mama anasema niongeze mjengo nyumbani
babe anasema go harder get some money
so
kila chocho kila site kila pango ,me siwazi fasta naingia
iwe halali au haramu ya magendo ,siachi kuif*kuzia
sometimes me silali kama popo, kuhakiki pesa inaingia
serious ukileta miyeyusho, fasta chini ninakuf*kia
i got bills to pay
i never come to play
vitu vyangu k*maliza pesa yangu ni pay
me nalipwa kwa maneno i don’t randomly say
nachotaka ni michuzi on my mind all day
chorus (j93 & mazegele boy)
nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
nachotaka ni michuzi(nachotaka ni michuzi) mazegeleee
verse 2(mazеgele boy)
nachotaka ni michuzi
weka pеsa sijivungi
kwenye vita ya mapene tunatoka misituni
haina maana pamba kali kwenye pochi ni sifuri
tukipanda kwenye meza panda kwenye visituli
ukianza kwenye flow sura mpaka roho safi
muziki umebadili maisha sasa hivi mambo safi
wanangu siwapi buku buku natembeza kaki
mungu baba ndio muamuzi na ameshaita kati
mwenzenu nikiona beat mithili ya tai kaona mzoga
pesa haitaki waoga
pesa isije kufanya ufanye mapenzi ya jinsia moja
money power si ndio slogan
nimeamua kuzisaka kwa jasho langu me sitaki kuomba
chorus (j93 & mazegele boy)
nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
nachotaka ni michuzi(nachotaka ni michuzi)
(woh chapati za kutosha….)
outro
j93 na mazegele boy
j93 heeeey na mazegele boy
tunachotaka ni michuzi ni michuzi
tunachotaka ni michuzi ni michuzi
randu anachotaka ni michuzi anachotaka ni michuzi
oya tukishapata michuzi tunafanya makamuzi
tornado vibe….
Random Song Lyrics :
- 52 pick up - sheem papers lyrics
- 낡은 신발 (old shoes) - deepflow lyrics
- t-bag your grandma - moron police lyrics
- new money (feat. lil beans) - ice tr3 lyrics
- shine - sandi patty lyrics
- lllewy - yung shi lyrics
- silver - robin cisek lyrics
- me habla - logica lyrics
- block - kid prinxe lyrics
- the hard part - the blue stones lyrics