
malaika wangu - jabali afrika, justo asikoye lyrics
nakupenda
nilipokuona mara ya kwanza
nilikupenda
urembo wako tabia
huku kote wasifika
tabasamu sura nzuri
umbo wa kupendeza
bidii zako heshima
zaenda sambamba
malaika w*ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
malaika w*ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
malaika
nakupenda, ehh
naomba unipe fursa
nikujue vizuri mpenzi
niwajue wazazi
familia yako yote
unipe fursa ni kutunze
najua siko kamili
nitajaribu mpenzi
utabasamu maishani mwako eeh
malaika w*ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
malaika w*ngu
nakupenda
sura yako nzuri
ni maua ya kupendeza
ooh, hey, ooh, malaika
ooh, nakupenda, ooh, ehh
sura yako nzuri (ehh)
ni maua ya kupendeza (ehh)
malaika w*ngu (w*ngu)
nakupenda (nakupenda)
sura yako nzuri (hehh)
ni maua ya kupendeza
Random Song Lyrics :
- alibi - iné kafe lyrics
- el tren se va - enrique y ana lyrics
- pop - cj lyrics
- a sunny day in gotham - versus them lyrics
- fake party - dog inthepwo lyrics
- under a spell - venom (band) lyrics
- safoda bulir das 9 às 5 - chicote lyrics
- chill with the squad - jae aux lyrics
- all the fucking drugs - dudja lyrics
- from the depths - terminus lyrics