
zilizopendwa - james jozee lyrics
[intro]
nipe mapenzi
nitahadharishe
huba hakika
mapenzi yapo
ama hamna
chorus:
nakupenda
ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 1:
rumba wewe si mtumba
ntakutunza kama kidole cha gumba
kisha nikuweke ndani ya nyumba
ntakufunga kiunoni
ntakuweka moyoni
penzi letu hakika halitotoweka
chorus:
nakupenda
ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 2:
bango
wewe ni mtamu
njoo tucheze wawili kwa nidhamu
taratibu wewe ni w-ngu kamili
ntakufunga kiunoni
ntakuweka moyoni
penzi letu hakika halitotoweka
chorus:
nakupenda ka zilizopendwa
kama bango
rumba
na benga x 2
verse 3
wewe binti nakupenda kama benga
utamu wako
uliniahidi hutanilenga
hutanitenga eeei eiii
wewe binti ooh nakupenda kama benga
[outro]
mapenzi ni nadra siku hizi
kuna matapeli na waizi
lakini wewe ni w-ngu saa hizi
na wimbo hii ni yako kabla huj-pata usingizi
Random Song Lyrics :
- kırık çocuk (platinum revolver mix) - sagopa kajmer lyrics
- kate - as docinhas lyrics
- the bay harbor butcher - the john candy lyrics
- purge yourself - broken jaw lyrics
- something's wrong with me - lucas james lyrics
- dirt roads dirt - noah hicks lyrics
- a love rains down - poi dog pondering lyrics
- gloom - swetty lyrics
- can’t wait to die - will wood lyrics
- olhos castanhos - allanbic lyrics